Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu
(Simiyurrh)

Hospitali ya simiyu kupokea msaada wa vifaa vya macho

Posted on: November 18th, 2019

hospitali ya rufaa ya mkoa wa simiyu inategemea kupokea vifaa tiba kwa ajili ya matibabu ya magonjwa ya macho.  wakiongea na timu ya uendeshaji wa hospitali, wahisani hao wanategemea kutoa ufadhili wa vifaa hivyo ambavyo vitasaidia katika kuboresha huduma ya hiyo.