MAADHIMISHO YA SIKU YA WAUGUZI
Posted on: May 11th, 2023![](http://simiyurrh.go.tz/storage/app/uploads/public/645/e23/ab8/thumb_669_800_420_0_0_crop.jpeg)
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Simiyu Dkt Juma Katwale akiongea na wauguzi katika siku ya maadhimisho ya wauguzi duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 12/05/2023. Kaimu Mganga Mfawidhi alisisitiza ushirikiano wa kazi baina ya wauguzi na utoaji bora wa huduma.