TAKUKURU yakabidhi vifaa tiba katika wodi ya Watoto wachanga Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu
Posted on: March 2nd, 2026Mkurugenzi wa TAKUKURU Taifa Bw. Crispin F. Chalamila (Kushoto) akabidhi vifaa tiba kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu Dkt. Athanas Ngambakubi (Kulia) tarehe 4 mwezi Machi, 2026. Tukio hilo lilishuhudiwa na mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe. Anamringi Macha (Katikati). Vifaa hivyo ni Phototherapy Machine na Radiant Warmer.


